AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Jini Mkatakamba kuipitia ndoa ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, aliyekuwa mkewe Nawal amefunguka kuwa yupo katika harakati za kuifuta tattoo ya Nuh aliyoichora mkononi mwake.
Nawal ambaye baada ya kuachana na mzazi mwenziye Nuh Mziwanda, ameolewa tena na mwanaume anayefahamika kwa jina la Masoud, amefunguka Kwa kusema; “Nitaifuta tattoo ya Nuh Mziwanda, mume wangu ana fedha, atanipa ili niende kuifuta.”
Baada ya kutemana na Shilole, Nuh Mziwanda aliingia katika uhusiano wa kimapenzi na Nawal ambapo Novemba, 2016, walifanikiwa kufunga ndoa na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike anayeitwa Anyaghire.
Hivi karibuni ndoa yao ilivunjika baada ya kupitiwa na jini mkatakamba, kwa kile kinachodaiwa kuwa Nuh amerudi katika dini yake ya Kikristo na kwa kufanya hivyo ni kama amemkana mkewe aliyemuoa kwa dini ya Kiislamu, ambapo baada ya kutengana kwao, Nawal akaolewa tena na mwanaume anayefahamika kwa jina moja la Masoud.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK