AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Upinzani nchini Syria umetangaza kumpiga risasi ndege aina ya Tai aliyekuwa anatumiwa na Israel kufanya ujasusi katika kanda hiyo .
Ndege huyo anasemekana kuonekana maeneo ya Idlib karibu na mpaka wa Uturuki.
Vikosi vya upinzani vilimuua ndege huyo kwa risasi baada ya kugundua kuwa alikuwa anapaa na kuzunguka eneo moja katika kanda hiyo .
Ndege huyo alikuwa amewekwa kamera na vifaa vya uchuguzi katika mwili wake .
Syria imekuwa ikikumbwa na vita kwaa miaka 6 sasa .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK