Ndoa Mpya ya Nawal ni Yadaiwa Kuwa ni FAKE? Mwenyewe Kayasema Haya…

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

U heard ya XXL ya Clouds FM leo August 15, 2017 inamuhusu mke wa zamani mwimbaji wa Bongofleva Nuh Mziwanda, Nawal aliyefunga ndoa na mwanaume mwengine hivi karibuni na kuwa gumzo…sasa new stori ni kwamba ndoa inadaiwa kuzua utata.

Inadaiwa kuwa ndoa mpya ya Nawal sio halisi, ni FAKE na anadaiwa kufanya hivyo ili kumuumiza roho Nuh Mziwanda.

Soudy Brown amezungumza na Nawal
”Haina haja ya kuapia mimi najua mwenyewe kwamba nameolewa. Mume wangu nilikuwa naye sasa hivi kaenda kazini mimi nikarudi nyumbani siwezi kupika mwanangu anaumwa, pia tulijisikia kwenda kula sehemu nyingine.” – Nawal
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad