Ndoa ya Nuh Mziwanda Chali....Aliyekuwa Mkewe Aolewa na Mwanaume Mwingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ndoa ya Nuh Mziwanda na mkewe Nawal ilioyofungwa Novemba imeingiwa na kidudu mtu kilichopelekea ndoa hiyo kuvunjika licha ya kuwa imeweza kuleta tunda la Anyagile (Anya).

Akiongea katika U-Heard ya Clouds FM Jumatano hii, Nawal amethibitisha yeye na msanii huyo wa ‘Jike Shupa’ wameachana na kila mtu anaishi maisha yake kwa sasa na tayari yeye ameshafunga ndoa nyingine.

“Sina mume mimi, Nuh wakati anaamua kurudi kwenye dini yake (Ukristo) hakunishirikisha na mimi sasa hivi nipo kwa bibi yangu Msasani, pia nimesha olewa na mtu mwingine,” amesema mrembo huyo.

Pia Nawal amedai kuwa ni kweli ameondoka kwake kutokana na Nuh kuwa mkosaji na mpaka sasa hamjali mtoto wao kwa chochote ila kama aliweza kumzaa basi anauwezo wa kumlea mtoto huyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad