Odama Afunguka Sababu ya Kutofanya Sherehe Kubwa Siku Yake ya Kuzaliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Odama Afunguka Sababu ya Kutofanya Sherehe Kubwa Siku Yake ya Kuzaliwa
STAA wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa hakuweza kufanya sherehe kubwa kwenye siku yake ya kuzaliwa kwa sababu anaona kufanya hivyo ni kama utoto.

Akizungumza na Amani, Odama alisema ameamua kutofanya kitu kubwa mpaka atakapokuwa mzee, itakuwa na maana kubwa kuliko kufanya kila mwaka.

“Huwezi amini yaani hata kama zamani nilikuwa nafanya hivyo basi nilikuwa bado akili yangu haijachangamaa kabisa lakini mambo ya sherehe kubwa nitafanya nikiwa mzee kwa sasa tena hapana,” alisema Odama ambaye bethidei yake ni Agosti 26.
Stori zinazo husiana na ulizosoma



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Just found a search engine of all Japanese used car exporters, including BE FORWARD and etc. All your used cars at one place on JUCSE! The best way to find and buy cheap cars from Japan! Right at https://www.japanese-used-car.com/

    ReplyDelete

Top Post Ad