AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 02 Agosti, 2017 amewapa mkono wa pole familia ya Dkt. Steven Juma Mdachi aliyefariki dunia jana tarehe 01 Agosti, 2017 katika Hospitali ya Tumaini Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Dkt. Steven Juma Mdachi alikuwa Mhadhari wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kitivo cha Uhandisi, Idara ya Kemia.
Akiwa nyumbani kwa Marehemu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mhe. Rais Magufuli ametia saini kitabu cha maombolezo na kuwapa mkono wa faraja Mjane wa Marehemu Mama Mary Mdachi, watoto wa Marehemu, wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na ndugu jamaa na marafiki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK