Real Madrid Waionyesha Barcelona Waichapa 3-1 Wakiwa Pungufu uwanjani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Real Madrid Waionyesha Barcelona Waichapa 3-1 Wakiwa Pungufu uwanjani
Klabu ya Real Madrid imefuta uteja dhidi ya Barcelona kwa kuichabanga goli 3-1 na kutwaa ubingwa wa kombe la Super Cup nchini Hispania.


Ronaldo akipachika mpira wavuni dakika chache kabla ya kupigwa kadi nyekundu.

Licha ya Mshambuliaji wao tegemezi wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo kupata kadi nyekundu kunako dakika ya 82, Madrid walionekana kutokata tamaa na kupambana zaidi.

Goli la kufungua akaunti ya magoli ya Real Madrid lilipatikana kunako dakika ya 60 ya kipindi cha pili baada ya Beki wa Barcelona, Gerard Pique kujifunga kabla ya Ronaldo na Asensio kuonesha viwango vyao na kutupia goli kila mmoja.

Goli la kufuta machozi la Barcelona lilifungwa na Lionel Messi kunako dakika dakika ya 77 kwa njia ya penati baada ya Luis Suarez kuangushwa kwenye eneo la penati, Tazama magoli yote hapa chini




----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad