Roma Mkatoliki: Nimechoka Kukaa Zimbabwe Nimeridu Sasa......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapa Roma Mkatoliki ambaye alikuwa amepiga kambi kwa Robert Mugabe nchini Zimbabwe amerejea nchini tayari na kusema amechoka kukaa huko alikokuwa hivyo ameamua kurejea nchini Tanzania kwa Rais Magufuli ili awe karibu na familia yake.

Roma anasema alimtuma mkewe aweze kumuwakilisha katika kuachia kazi yake mpya Zimbabwe anadai sasa amerudi hivyo sasa kazi yake ni kupita kila Radio na Television ili aweze kuongea na watu wake na kuwaeleza maana halisi ya Zimbabwe.

Mtazame hapa Roma akifunguka zaidi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad