Unaambiwa Maisha ya Jack Wolper yanategemea Pombe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

IMEBAINIKA! Msanii wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper akiwa hajapiga ‘tungi’ anakuwa na aibu kiasi cha kushindwa kuzungumza jambo mbele za watu.

Wolper alivujisha siri hiyo juzikati baada ya kufanya ‘interview’ akiwa hajaonja kilevi na kutoboa ukweli kuwa hakuwa na ‘konfidesi’ kwa sababu hakuwa ameshtua.

“Unajua nikiwa sijanywa mimi huwa nina aibu kweli lakini nikipiga mambo yetu utanikataa, jicho linakuwa kavu wala sibabaiki,” alisema Wolper.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad