Video: Madee Amemchana Tena Nay Wa Mitego

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Bongo fleva kutoka kitaa cha Manzese ambaye ndiye anayetambulika kama Rais wa Manzese, Madee, amemchana mwenzake kutoka kitaa hicho, Nay wa Mitego kwamba yeye ni raia wa kawaida na hana uwezo wa kuwa Rais wa Manzese

Katika mahojiano maalumu na mtandao wa Muungwana Blog msanii Madee aliamua kujibu kwa kusema " Sijawahi kuwa na matatizo na mtu yoyote, Nay ni mdogo wangu kabisa amekuwa ninamuona, kwa hiyo ni Nay ninamuona raia wangu mwema kama wengine wanaoishi mnzese"

TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad