AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Mohammed Mpinga, amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa 1:20 usiku Agosti 27 mwaka huu na kusababisha majeruhi watano waliolazwa kwenye hosptali ya Chimala mkoani Mbeya.
Kamanda Mpinga amesema chanzo cha ajali ni mwendo kasi na uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha basi hilo Hussein Mkwizu(52) mkazi wa jijini Dar es Salaam, alipojaribu kulipita lori na ndipo basi likapoteza mwelekeo na kupinduka.
Pia Kamanda Mpinga ametoa wito kwa madereva kufuata sheria za usalama barabarani, na kwamba Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kali za kisheria
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK