AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiasi hicho cha fedha ni pungufu kwa Sh2 bilioni hasa ikizingatiwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ilikuwa imeomba Sh12.2 bilioni kwa ajili ya shughuli za uchaguzi wa marudio baada ya ule wa kwanza uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta kufutwa na Mahakama ya Juu mapema mwezi huu.
"Baraza la Mawaziri leo (juzi) limeidhinisha kutolewa Sh10 bilioni ili kugharimia uchaguzi wa marudio kwa kura ya urais. Kiasi hicho kimetolewa kwa kuzingatia mapendekezo ya bajeti iliyowasilishwa na IEBC," imesema taarifa ya msemaji wa ikulu Manoah Esipisu.
Awali Katibu wa Baraza la Mawaziri Henry Rotich alikadiria kwamba uchaguzi wa marudio unaweza kugharimu zaidi ya Sh15 bilioni ikiwa 'shughuli zinazohusu kwa upana usalama zitaingizwa'.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK