Barnaba Atarajiwa Kuachia Albamu Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Barnaba Atarajiwa Kuachia Albamu Yake
Baada ya msanii kutoka TMK, Chege kuweka wazi mipango ya kuachia albamu yake ya ‘Run Town’ wiki hii, naye Barnaba Classic ametangaza kuachia albamu yake.

Akipiga stori katika The Playlist ya Times Fm, mkali huyo  amesema kuwa baada ya  kushindikana kuachia albamu  hiyo hapo mwanzoni kutokana na matatizo aliyopata ila sasa ana mpango wa kuachia albamu hiyo yenye ngoma kumi hivi karibuni.

“Mimi ni muimbaji nimetamani kuiona albamu yangu ikienda sokoni, i wish watu wasikie albamu yangu ambayo inakuja hivi karibuni,” amesma msanii huyo baada ya kusikiliza nyimbo zake mbili ‘Tunafanana’ na ‘Loverboy’ na kuongeza kuwa “baada ya kuzikiliza nyimbo hizi mbili naona yani kama zimebeba nyimbo 100 ukiachia zile nane zilizo bakia.”

Pia msanii huyo akasisitiza kuwa jina la albamu yake  itaiwa ‘Eight eight’ (8/8) sawa na siku yake aliyozaliwa na akaeleza kuwa  alipanga itoke albamu hii siku nyingi ila kutokana na matatizo aliyopata ya kuibiwa ikacheleweshwa hivyo kwa sasa  wana kaa na menejimenti kupanga mipango mizuri zaidi ya kuito
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad