AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashirika matatu ya umma yamepeleka kesi mahakamani dhidi ya benki hiyo, wakiilaumu benki hiyo kupitisha dola milioni 1.3 kwa muuza silaha ambapo pesa hizo zilitumiwa kununua silaha na kukiuka azimio la marufuku ya silaha la Umoja wa Mataifa.
Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza la BBC linasema, Kanali wa kabila la Hutu ambaye alipokea silaha hizo, Theoneste Bagosora, anatumikia kifungo cha miaka 35 jela kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Mauaji ya kimbari nchini Rwanda yalitokea baada ya ndege iliyokuwa imembeba Rais Juvenal Habyarimana kutoka kabila la Hutu kudunguliwa Aprili 6, 1994.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK