Bikra Zinapotea Siku za Sikukuu, Wazazi Mnachangia Kuharibu Hiki Kizazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Habari za mida wakuu mbalimbali
Leo siku ya Sikukuu ya IDDI Mchana nimejionea jinsi vitoto vya kike vinavyo randa randa mtaani kwetu vimejiachia balaa, Yaani watoto chuchu SAA alafu wanaita hatari ila nimegundua wasichana wengi huanza mahusiano kama siyo kubikiriwa siku kama za Leo za sikukuu kwani wengi wanapewa nafasi au kuruhusiwa kutoka bila kuchungwa basi unakuta msela wa jirani hapo kashapewa ahadi anakwenda kubatua kitu bila hiyana
Ewe mzazi unamwachiaje binti mdogo azurure na ilhal una jua kashavunja ungo ?

Tuweni makini na mabinti zetu jamani
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad