Flaviana Matata Afunguka Alipokutana na Jay Z, Beyonce

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Flaviana Matata Afunguka Alipokutana na Jay Z, Beyonce
Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Bongo, Flaviana Matata ameeleza mambo machache kuhusu tukio la kukutana na Jay Z na Beyonce.

Weekend iliyopita Flaviana kupitia ukurasa wake wa twitter aliweka video akiwa na mastaa hao wa dunia. Akizungumza na XXL ya Clouds Fm Flaviana amesema walikutana katika maonyesho ya magari ya zamani ambayo yalikuwa ya kifahari lakini hawakuzungumza sana.

“Perfect nilikuwa kwenye event ya mambo ya magari, Hamptons nikakutana nao, Jay nimekutana naye mara nyingi sana, Beyonce this is first time I think but people get excited kwa sababu it had never meet to the internet,” amesema Flaviana.

“Sijawahi kuwa na video picha lakini those people we meet husalimii, kila mtu anaendelea na hamsini zake, pale tulikuwa tunasalimiana, hongea kwa watoto and then nikamsalimia Jay nikaenda zangu,” ameongeza
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad