AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kuhusu mpenzi huyo wa Harmonize, alifunguka kwamba: “Mimi namuona yule Mzungu wa Harmonize ni bibi tu, hajaopoa demu pale ila kaopoa mpenzi ambaye ni bibi. Yaani ni kama mimi niishi na bibi yangu, ndo Harmonize kama anaishi na bibi mzaa mama yake.”
Harmorapa alishawahi pia kufunguka mengi juu ya yeye kumpenda Wema aliposema yupo tayari kumlipia fedha yoyote ile kwa ajili ya kuishi naye. Lakini, baadaye aligeuka na kumponda mrembo huyo akidai ana umri mkubwa pia.
Mwanamuziki huyo machachari ‘alimshauri’ Harmonize atafute mpenzi anayeendana na umri wake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ZIRO BRAIN
ReplyDeleteVibibi bibi zako.Hao unaosema vibib wana uwezo wa kumzaa mama yako mpaka uwaite wabibi. We mwenyewe ni Muhenga tu
ReplyDelete