Hamrmolapa Amnanga Sarah wa Harmonize Asema ni Kibibi Amshauri Hamonize Atafute Mpenzi Anayeendana Naye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hamrmolapa Amnanga Sarah wa Harmonize Asema ni Bibi Amshauri Hamonize Atafute Mpenzi Anayeendana Naye
MSANII wa anayechipukia kwa kasi nchini kwenye miondoko ya Hip Hop, Harmorapa, amefunguka mengi juu ya mpenzi wa mwanamuziki mwenzake, Harmonize, anayefahamika kwa jina la Sarah na mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Madam Wema Sepetu, akisema wote ni mabibi yaani watu wenye umri mkubwa.

Akizungumza kuhusu mpenzi huyo wa Harmonize, alifunguka kwamba: “Mimi namuona yule Mzungu wa Harmonize ni bibi tu, hajaopoa demu pale ila kaopoa mpenzi ambaye ni bibi. Yaani ni kama mimi niishi na bibi yangu, ndo Harmonize kama anaishi na bibi mzaa mama yake.”
Harmorapa alishawahi pia kufunguka mengi juu ya yeye kumpenda Wema aliposema yupo tayari kumlipia fedha yoyote ile kwa ajili ya kuishi naye. Lakini, baadaye aligeuka na kumponda mrembo huyo akidai ana umri mkubwa pia.
Mwanamuziki huyo machachari ‘alimshauri’ Harmonize atafute mpenzi anayeendana na umri wake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Vibibi bibi zako.Hao unaosema vibib wana uwezo wa kumzaa mama yako mpaka uwaite wabibi. We mwenyewe ni Muhenga tu

    ReplyDelete

Top Post Ad