Hii Hapa Picha ya Mobetto na Petiti Man Wakiwa Kwenye Mahaba Mazito Yazua Gumzo Mitandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii Hapa Picha ya Mobetto na Petiti Man Wakiwa Kwenye Mahaba Mazito Yazua Gumzo Mitandaoni
Petitman mume wa Esma Platnumz ambaye ni dada yake Diamond amelazimika kuvunja ukimya baada ya picha zinazomuonyesha akiwa na Mobetto katika hali ya mahaba.

Petit ambaye ni meneja wa Billnass na Country Boy, amedai picha hizo zimesambazwa kwa lengo la kumchafua yeye pamoja na familia yake.

“Picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ni za zamani sana. Hazina uhusiano wowote na maisha yangu ya sasa au na yale yanayoendelea kuhusu Hamisa ambaye anaonekana pia katika picha hizo kwa sasa,” aliandika Petit Instagram.

Aliongeza,”Yeyote ambaye ameamua kuzisambaza ana nia moja tu. Kuniunganisha katika suala ambalo sihusiki na kunichafua. Mimi kwa muda mrefu niko na mke wangu mpendwa ambaye kila mtu anamjua na tuko busy kujenga familia yetu. Inawezekana jambo hili haliwafurahishi baadhi ya watu hivyo kuamua kusambaza picha za zamani kwa nia zao ovu. Niseme tu kwa kifupi hizo picha sio za kutilia maanani. Ni picha za zamani sana. Kwa sasa sio muda wa kuchafuana. Huu ni muda wa kila mmoja wetu kupambana kujijenga na kulea familia yake. Mimi kama baba wa familia jukumu langu ndio hilo”

Mobetto hivi karibuni amejifungua mtoto wa kiume, Abdul ambaye amezaa na muimbaji Diamond Platnumz.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad