AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfanyakazi wa Motorola aitwaye Marty Cooper alitumia simu ya mkononi kupiga simu kwenda ofisi yao (kwenye simu ya mezani), ilipoita na kupokelewa alisema, “Napiga simu kutaka kufahamu kama nasikika vizuri upande huo.”
Simu hii ilikuja kuingia sokoni mwaka 1983 baada ya muda kidogo ikitumia jina la Motorola DynaTAC 8000x na hii ndiyo simu ya kwanza ya mkononi kuingia sokoni na watu kuweza kununua. Na ilikuwa inauzika kwa bei ya juu sana, dola 3995 za kimarekani za wakati huo, ambayo ni si chini ya Tsh 8,000,000 za kitanzania.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK