Jeshi la Polisi Latoa Onyo kwa Wavunjifu wa Usalama Barabarani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi Latoa Onyo kwa Wavunjifu wa Usalama Barabarani
Mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Fortunatus Musilimu, ameahidi kuwachukulia hatua kali wavunjifu wote wa sheria za usalama barabarani pasipo kujali nyadhifa, madaraka na umaarufu wa mtu husika katika jamii.

ACP Musilimu ametoa onyo hilo jijini Dar es Salaam leo wakati akitoa zawadi kwa wanafunzi wa shule za msingi walioshiriki shindano la uelewa wa sheria za barabarani kupitia michoro mbali mbali, shindano lililoandaliwa na Kampuni ya mafuta ya Puma Energy ambamo serikali inaumilikia wa asilimia hamsini.
Mkurugenzi Mkuu wa Puma Energy Bw. Philippe Corsaletti amesema shindano hilo pamoja na programu nyingine za usalama barabarani zinazofadhiliwa na kampuni hiyo zinalenga kujenga kizazi kitakachokuwa na uelewa wa juu kuhusu usalama barabarani ili kulinda nguvu kazi ya taifa inayohitajika katika uzalishaji.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad