AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamusoko aliumia kwenye mchezo dhidi ya Njombe Mji lakini alifanya mazoezi hadi Jana Ijumaa lakini Daktari wa Yanga, Edward Bavu ameona ni vyema akapumzishwa.
Kwa upande wa Chirwa, ameingia kwenye kikosi cha kwanza leo baada ya kupata dakika chache kwenye mchezo uliopita.
Katika hatua nyingine, Geofrey Mwashiuya na Raphael Daudi wameingia kwenye kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza msimu huu.
Daudi aliingia akitokea benchi katika mechi mbili za mwanzo lakini leo ameanza badala ya Kamusoko.
Yanga itavaana na Majimaji leo saa 10 jioni na tayari mashabiki wameanza kuingia uwanjani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK