Kimenuka.. Almasi Yenye Thamani ya Sh. Bilioni 32 Yanaswa Airport ikisafirishwa Kwenda Ubelgiji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kimenuka.. Almasi Yenye Thamani ya Sh. Bilioni 32 Yanaswa Airport ikisafirishwa Kwenda Ubelgiji
Yana thamani ya shilingi bilioni 32.8 na yalikuwa yakisafirishwa kwenda nchini Ubeligiji.

Madini hayo yamekamatwa katika uwanja wa ndege ukionekana kutolewa Mwadui kwenda Ubeligij chini ya kampuni moja ya Afrika Kusini ambao Naibu Waziri wa Nishati na madini atazungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa ndege wa Mwl Julius Kambarage Nyerere.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad