Kiongozi wa Upinzani Amekamatwa na Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiongozi wa Upinzani Amekamatwa na Polisi
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Dr. Kizza Besigye, amekamatwa na polisi nchini humo kufuatia sakata la baadhi ya wabunge na wananchi nchini humo kupinga suala la ukomo wa urais.

Dr. Besigye amekamatwa leo mchana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala, ambako alikuwa amekwenda kuhamasisha wafuasi wake dhidi ya kuondolewa kwa Ibara ya 102 (b) ya katiba ya nchi hiyo, ambayo inaweka kikomo cha umri wa urais akiwa na umri wa miaka 75.
Wakati wa tukio hilo Dr. Besigye alikataa kushuka kwenye gari yake alipoamrishwa na polisi, na kuwalazimu polisi hao kuliburuza gari hilo hadi kituo cha polisi na kulipaki, huku Kizza Besigye akiwa ndani ya gari.
Mbali na Dr. Besigye  Mjumbe wa Bunge la Afrika Mashariki, Fred Mukasa naye amekamatwa na polisi kufuata tukio hilo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad