AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda juu ya ishu hiyo ambayo ilizua mjadala mzito, mmoja wa vyanzo makini alisema kuwa, hata viatu alivyovaa alidai kuwa vya shilingi laki mbili lakini ukweli ni kwamba vinauzwa shilingi elfu thelathini.
Kwa upande wake Gigy aliliambia gazeti hili kuwa, anawashangaa wanaojadili suala hilo kwa sababu yeye ndiye anayejua ukweli.
“Mimi ndiye mnunuzi, watu wanapaswa kukumbuka tu kila kitu kina bei tofauti kutokana na muuzaji na sehemu kinapouzwa,” alisema Gigy.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
papa kubwa
ReplyDelete