AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ney amesema ingawa wasanii ndiyo watu ambao wakipaza sauti zao zinaeleweka kwa wengi hata wasiofuatilia siasa, lakini ameona bora ayaache masuala hayo kwa wenyewe wanasiasa kutokana na uoga alionao.
Ney ameendelea kwa kusema kwamba anatamani kuongea lakini kutokana na hali ilivyo kwa sasa anahofia usalama wake, maana mpaka familia yake inamkalisha chini kumuonya na kuamua kukaa kimya, na kuwaachia wanasiasa waendelee kupambana wenyewe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Acha Kujikweza
ReplyDeleteHana lolote analoweza kuwaeleza watu ni bora anyamaze.
ReplyDelete