Natamani Kuongea Hali ya Usalama Nchini na Mashambulio ila Nahofia Usalama Wangu- Ney wa Mitego

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Natamani Kuongea Hali ya Usalama Nchini na Mashambulio ila Nahofia Usalama Wangu- Ney wa Mitego
Msanii Ney Wamitego kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu hali ya usalama ilivyo hapa nchini kufuatia matukio ya mauaji ya watu mbali mbali, na shambulio la risasi la Tundu Lissu ambalo limetikisa nchi nzima.

 Ney amesema ingawa wasanii ndiyo watu ambao wakipaza sauti zao zinaeleweka kwa wengi hata wasiofuatilia siasa, lakini ameona bora ayaache masuala hayo kwa wenyewe wanasiasa kutokana na uoga alionao.
Ney ameendelea kwa kusema kwamba anatamani kuongea lakini kutokana na hali ilivyo kwa sasa anahofia usalama wake, maana mpaka familia yake inamkalisha chini kumuonya na kuamua kukaa kimya, na kuwaachia wanasiasa waendelee kupambana wenyewe
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hana lolote analoweza kuwaeleza watu ni bora anyamaze.

    ReplyDelete

Top Post Ad