AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mayweather ameripotiwa na mtandao wa dailymail.co.uk kuwa pambano lake na Mc Gregor ndio pambano lake la mwisho na ameamua kustaafu mchezo wa ngumi, japokuwa kuna watu wanaweza kufikiria kuwa atarudi tena ulingoni.
Hata hivyo Mayweather katika interview hiyo amethibitisha kuwa na wasichana saba katika mahusiano ya kimapenzi kwa sababu kuwa na msichana mmoja ni sawa na kuwa hauna kabisa.
“Nina wasichana wangapi? kama saba hivi ambao tunatoka out kwenda kula na wengine nasafiri nao kuwa nae mmoja pekee karibu ni sawa na kuwa hauna kabisa" Floyd Mayweather
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK