AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Charles Mkumbo amesema kuwa mtu aliyehusika na utekaji wa watoto anayeshikiliwa na Jeshi hilo baada ya kukamatwa mkoani Geita alieleza jana mchana baada ya uchunguzi akikiri kuhusika kuwateka watoto hao na kuwauwa kisha kuwatumbukiza katika shimo la maji machafu.
Miili ya watoto hao imetambulika kuwa ni Iqram Salum na Maurine David Ernest.
”Alihusika kuwateka hawa watoto na alishawadhuru. Tuliongozana naye mpaka Olasite na kuonesha sehemu ambayo alikuwa amewaua hawa watoto na kuwatumbukiza kwenye shimo la maji machafu katika nyumba iliyojengwa hivi karibuni.”
Aidha, Kamanda Mkumbo amesema wanaendelea kumshikilia mtuhumiwa huyo na upelelezi utakapokamilika atafikishwa Mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria.
“Tunaendelea na uchunguzi na tukimalisha tutamfikisha Mahakamani.” – Kamanda Mkumbo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK