AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyo amesema kuwa hakuna msanii anayefanya muziki bila kopi muziki kutoka sehemu nyingine.
“Hakuna msanii mwenye style yake kila msanii kuna mtu amemu-inspire mimi sikuanza tu kuchana, nilianza kuimba kwaya kanisani Sunday Schoo lakini mimi kuchana Tang twist wakati nipo sekondari nilikuwa nasikiliza sana nyimbo za Buster Rhymes nilikuwa napenda kumsikiliza sana A.Y nilikuwa napenda kumsikiliza sana marehemu Mangwear na wengineo nilivutiwa sana na aina yao ya muziki,” amesema Quick Rock
Akaongeza “Nawaona mbali sana OMG kwa sababu there very talented wana displine na wanapenda sana muziki na kitu wanachofanya, nawaona mbali sana kikubwa nacho waambukiza kuwa there is busness in music, unaweza ukawa unapenda sana muziki ukawa attach sana na muziki then ukasahau kuwa muziki ni biashara, so love the music , enjoy the music make music but don’t for get is busness.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK