AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza baada ya kuwatunuku nishani ya Luteni Usu maofisa 422 wa jeshi, Magufuli amesema lengo la kutoa nafasi hizo ni kuhakikisha jeshi linakuwa na askari wa kutosha.
“Jeshi haliwezi kuwa na maofisa tu, tutaongeza na askari wa kawaida, wengi watakaopata nafasi hizi nataka wawe wamepitia JKT, tunataka tujenge jeshi la kisasa.”
Rais Magufuli amewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa jeshi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili viendelee kufanya kazi yao kwa ufanisi, amani na utulivu viendelee kutawala nchini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK