AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea leo bungeni George Masaju alianza kwanza kwa kutoa pole kwa Mbunge Tundu Lissu kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana na kusema serikali inalaani vikali kitendo hicho alichofanyiwa Tundu Lissu.
"Naomba kutoa pole kwa Tundu Lissu kwa majeraha aliyopata kutokana na kupigwa risasi na watu wasiojulikana sisi kama serikali tunalaani vikali jambo hili, kwa kuwa sasa jambo hili lipo kwa jeshi la polisi, tuviachie vyombo vya usalama naamini watafanya upelelezi kwa haraka" alisema George Masaju
Mbunge Tundu Lissu kwa sasa yupo nchini Kenya akipatiwa matibabu kufuatia kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 mjini Dodoma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK