Shilole Afungukia Kichapo Alichopewa na Mchumba ake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKALI wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Zuwena Mohamed ‘Shilole au Shishi Baby’ anadaiwa kubondwa na mpenzi wake wa sasa anayejulikana kwa jina moja la Uchebe, kisa kikisemekana ni wivu wa kimapenzi.

Chanzo makini kililiambia Ijumaa Wikienda kuwa, hivi karibuni Shishi alikwenda kwenye shoo mkoani Morogoro akiwa na Uchebe, akiwa jukwaani shabiki alipanda na kumshika kimahaba, alipomaliza shoo ndipo mchumba’ke huyo akamshushia kipigo.

Baada ya kuunyaka ubuyu huo, Ijumaa Wikienda lilimsaka Shishi ambaye alifunguka:
“Ni kweli kulitokea mgogoro wa kawaida, ilikuwa Zanzibar na siyo Morogoro. Unajua jamaa hatumii kilevi, sasa mimi nilimkwaza kwa sababu nilitaka kuendelea kunywa ndiyo tukapishana kauli.

Kuhusu wivu ni kweli anao na huyu ni mwanaume nampenda sana siyo kama wengine waliopita,” alisema Shishi anayekimbiza na ngoma yake mpya ya Kigori.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad