AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameliambia Mwananchi kwa njia ya simu akiwa Nairobi, Kenya, alipokwenda kusimamia matibabu ya Lissu kuwa shambulio hilo lilipangwa kwa muda mrefu na kwamba waliofanya hivyo hawawezi kujificha tena.
“Tukio hili lilipangwa na kuratibiwa kwa muda mrefu. Kuna magari mengi yamekuwa yakimfuatilia Lissu kwa muda mrefu na hili jambo halikupangwa na mtu mmoja, limepangwa na watu wengi na baada ya muda kila kitu kitajulikana,” alisema.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) alishambuliwia kwa risasi zaidi ya 30 nyumbani kwake Area D mjini Dodoma muda mfupi baada ya kutoka kwenye ukumbi wa Bunge.
Watu wasiofahamika walilifuatilia gari lake tangu alipotoka bungeni saa saba mchana na alipofika nyumbani kwake alisita kushuka baada ya kuona gari hilo likiendelea kumfuata na ndipo aliposhambuliwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK