Watu 36 Washikiriwa na Polisi kwa Kufanya Vurugu Jangwani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu 36 Washikiriwa na Polisi kwa Kufanya Vurugu Jangwani
Watu 36 wanashikiliwa na polisi wakituhumiwa kuhusika kufanya vurugu eneo la bonde la Jangwani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema leo Alhamisi kuwa bomoabomoa inaendelea eneo hilo na ulinzi umeimarishwa.

"Tumewakamata watu 36, bado tunaendelea kuwasaka waliofanya fujo akiwemo kiongozi wa mtaa wa Jangwani anayetuhumiwa kuhamasisha vurugu hizo," amesema.

Kamanda Hamduni amesema kiongozi huyo (jina tunalihifadhi kwa sasa) jana Jumatano aliwahamasisha wananchi kuwapiga mawe maofisa wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala waliokuwa wakisimamia bomoabomoa kupisha mradi utakaotekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasa).


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad