AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Herman Kapufi, akithibitisha kukamatwa kwa watumishi wa sekta ya afya wa zahanati hiyo, aliwataja kwa majina kuwa ni Peter Matono, mtunza stoo ya dawa na mhudumu Enock Ngidangida na kusema walikamatwa na wananchi wakiwa wameficha dawa na vifaa tiba zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni saba kwenye makazi yao.
Kapufi alisema kuwa serikali haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria madaktari na wahudumu wa afya watakaobainika kujihusisha na tabia hiyo.
Alisema watuhumiwa hao kwa sasa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani hapa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK