Yanga, Ndanda FC Kuonyeshana Ubabe Leo Uwanja wa Uhuru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yanga, Ndanda FC Kuonyeshana Ubabe Leo Uwanja wa Uhuru
Timu ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga inatarajiwa kushuka dimba la uhuru leo Jijini Dar es Salaam kuwavaa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu mzunguko wa nne huku wakiendelea kumkosa mshambuliaji wake Amisi Tambwe.

Hayo yamewekwa wazi na Kocha msaidizi wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa na kusema Tambwe ndiyo mchezaji pekee atakaendelea kuukosa mchezo huo wa leo.

"Kwa ujumla kikosi chetu kipo vizuri kabisa kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Ndanda FC", amesema Nsajigwa.

Amisi Tambwe amekuwa yupo nje (benchi) tokea ulipoanza msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na maumivu ya goti ambayo yalimuanza msimu uliopita.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad