AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamewekwa wazi na Kocha msaidizi wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa na kusema Tambwe ndiyo mchezaji pekee atakaendelea kuukosa mchezo huo wa leo.
"Kwa ujumla kikosi chetu kipo vizuri kabisa kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Ndanda FC", amesema Nsajigwa.
Amisi Tambwe amekuwa yupo nje (benchi) tokea ulipoanza msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na maumivu ya goti ambayo yalimuanza msimu uliopita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK