AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina la Valentino Talluto mwenye umri wa miaka 33, alikuwa akiwashawishi wanawake hao kufanya nao ngono bila kujikinga, kwa madai kwamba amepima karibuni na ana 'allerg' na condom.
Valentino alikuwa akiwapta wanawake hao kwa kutumia mitandao ya kijamii na kuwarubuni, huku akiwa na mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.
Waendesha mashtaka wa mjini Roma Italia, waliomba apewe kifungo cha maisha jela, lakini baada ya majadiliano ya masaa 12 mahakama iliamua kumfunga miaka 24 jela.
Akiwa mahakamani Talluto alielezea kujuta kwake kwa kufanya kitendo hicho, na kusema kwamba hakujua madhara ya vitendo hivyo.
Wanawawake wengi walikutwa na HIV kutokana na matatizo ya kiafya baada ya kufahamu juu kukamatwa kwa Talluto, na miongoni mwa wanawake hao mmoja ni binti aliyekuwa na miaka 14
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK