Ali Kipa Ndani ya Helkopta Akila Bata na Gavana wa Mji wa Mombasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ali Kipa Ndani ya Helkopta Akila Bata na Gavana wa Mji wa Mombasa
Huu unaweza ukawa ni muda muafaka wa Alikiba kusherehekea mafanikio ya ngoma yake ya Seduce Me.

Msanii huyo ameonekana katika picha ya pamoja ambayo ameiweka katika mtandao wa Instagram wakiwa kwenye Helkopta na rafiki yake wa karibu ambaye pia ni Gavana wa mji wa Mombasa, Hassan Joho.

“My brother thank you for hosting me and my team in Mombasa. @joho_001 #KingKiba,” ameandika Alikiba kwenye picha hiyo.


Alikiba (katikati) akitumbuiza katika kampeni za Gavana Joho

Kiba pia alikuwa akimfanyia kampeni kiongozi huyo ya kugombea katika mji huo wa Mombasa kabla ya uchaguzi uliofanyika August 8 ya mwaka huu na Joho ambaye ni mfanyabiashara maarufu nchini Kenya kushinda katika uchaguzi huo kwa takribani asilimia 90.

Katika uhaguzi huo Joho aliwabwaga wagombea wengine akiwemo Awiti Bolo, Suleiman Shabahal na wengine.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad