AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wale waliopiga ramli kuhusu ufisadi huo na maafisa mashuhuri wanatarajiwa kuitwa kutoa ushahidi wao.
Muda huu huenda ukawa wa kukosa amani miongoni mwa watu wenye ushawishi nchini Afrika Kusini.
Mawaziri, watu matajiri, mtoto wa rais na mashahidi wengine wengi, wanatarajiwa kuitwa mbele ya wabunge wanaochunguza madai ya ufisadi mkubwa nchini humo.
Inadaiwa kuwa familia moja yenye nguvu ya Gupta, imekuwa na ushawishi wa viwango vya juu serikalini, ili kuweza kujishindia kandarasi za serikali.
Familia hiyo ya Gupta imekana madai hayo sawa na rafiki wao Rais Jacob Zuma
Katika kipindi hiki cha misukosuko ya siasa kuhusu ni nani atakaye mrithi Zuma, uchunguzi wa wiki hii huenda ukawa na athari za aina yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK