AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gigy Money ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Papa’ ameiambia E-Newz ya EATV kuwa kutokana na umri wake ni vema angetulia na aliyekuwa mpenzi wake, Amber Lulu.
“Kiukweli apunguze mitandao ya wanawake unajua ina mchanganya halafu ukiangalia umri wake mdogo angetulia tu na Amber Lulu kwa sababu anampenda sana,” amesema Gigy Money.
Ameongeza kuwa katika wanawake mia wanaompenda Young Dee Lulu ndio anampenda sana na wengine majina tu, huku akieleza kuwa wawili hao hawajahi kuachana kama inavyokuwa ikiripotiwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK