Hizi hapa Sababu Chaz Baba Kupotea Katika Steji ya Mashujaa Bendi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hizi hapa Sababu  Chaz Baba Kupotea Katika Game ya Muziki
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana katika steji ya Bendi ya Mashujaa aliyokuwa akiifanyia kazi, mwanamuziki Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ ameeleza sababu za kupotea kwake.
Chaz Baba alisema alikaa kimya kwenye steji kwa kuwa alikuwa bize kufanya nyimbo zake binafsi na anatarajia kurejea kwa kishindo hivyo mashabiki wakae mkao wa kula.
“Nimekaa kimya kwenye steji kwa muda mrefu lakini hivi karibuni nitaachia wimbo wangu mpya unaitwa Nuru na nina nyimbo nyingine mpya 13 ambazo nitazitoa kwa utaratibu moja baada ya nyingine mpaka ziishe,”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad