AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
pembeni au watu wanaoheshimiana.
Akichonga na Staa Mix, Uwoya alisema kuwa, amekuwa akijituma ipasavyo katika screen za mapenzi kwa sababu ni miongoni mwa scene anazopenda kucheza kwenye filamu, kwa hiyo rimoti ni muhimu kwa watazamaji.
“Katika sanaa nasimamia mwongozo wa script, inapojitokeza suala la scene za mapenzi huwa nakamua vibaya sana, baadhi ya watu wanakwazika kwa namna ninavyocheza, lakini ushauri kwa wale wazazi ambao ni mashabiki wangu ni vema kila wanapotazama filamu zangu wawe karibu na rimoti ili kuondoa sehemu ambazo zinawakera,” alisema Uwoya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
UKO vizuri Uwoyaa. HONGERA mama
ReplyDeleteUKO vizuri Uwoyaa. HONGERA mama
ReplyDeleteUKO vizuri Uwoyaa. HONGERA mama
ReplyDelete