Irene Uwoya Awataka Mashabiki Zake Kukaa Karibu na Rimoti Wanapotazama Filamu Zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Irene Uwoya Awataka Mashabiki Zake  Kukaa Karibu na  Rimoti Wanapotazama Filamu Zake
STAA wa filamu Bongo, Irene Uwoya ametoa sharti kwa mashabiki wake kwamba kila wanapokuwa wanataka kutazama filamu zake hasa zile za mapenzi ni vema wakawa na rimoti karibu maana huwa anakuwa ‘deep’ katika kutekeleza ‘script’ inavyotaka, hivyo ni bora kuwa na rimoti kama kutakuwa na watoto
pembeni au watu wanaoheshimiana.

Akichonga na Staa Mix, Uwoya alisema kuwa, amekuwa akijituma ipasavyo katika screen za mapenzi kwa sababu ni miongoni mwa scene anazopenda kucheza kwenye filamu, kwa hiyo rimoti ni muhimu kwa watazamaji.

“Katika sanaa nasimamia mwongozo wa script, inapojitokeza suala la scene za mapenzi huwa nakamua vibaya sana, baadhi ya watu wanakwazika kwa namna ninavyocheza, lakini ushauri kwa wale wazazi ambao ni mashabiki wangu ni vema kila wanapotazama filamu zangu wawe karibu na rimoti ili kuondoa sehemu ambazo zinawakera,” alisema Uwoya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad