AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda Mambosasa ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, na kusema kwamba serikali hairuhuhusu kuwepo kwa vitendo hivyo ambavyo ni kinyume na sheria za nchi, na pia jeshi la polisi litahakikisha linamkamata kila atakayegundulika kujihusisha navyo.
Kamanda Mambosasa ameyasema hayo kufuatia tukio la kukamatwa kwa meneja wa hoteli ya Peacock ambaye alitoa Ukumbi kwa ajili ya watu wanaofanya vitendo hivyo kufanya mkutano wao, pamoja na watu wengine ambao ni raia wa Afrika Kusini, Uganda na Tanzania.
“Tumekamata wahalifu wengine pale Peacock ambao wanahamasisha ushoga hapa nchini, niendelee kutoa onyo kwamba kosa hilo kwetu ni kinyume na sheria, kwanza meneja wa hoteli tumemkamata kwa sababu alikuwa anajua ndio maana akatoa ukumbi, lakini pia wahusika warudi kwao wakaendelee huko kama sheria zao zinaruhusu, lakini kwa hapa nchini na kanda maalum ninasema ni marufuku na yeyote atakayepokea, kuhifadhi na kuwezesha kitendo hicho hatutamuacha”, amesema Kamanda Mambosasa.
Watu hao waliokamtwa wamefikia 12, ambao ni watu wa Afrika Kusijini wawili, Mganda mmoja na Watanzania 9, na watafikishwa mbele ya sheria hivi karibuni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK