Kigaila Benson Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Tuhuma za Uchochezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kigaila Benson Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Tuhuma za Uchochezi
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam, linamshikilia Mkurugenzi wa Operesheni na mafunzo wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema bwana Kigaila Benson kwa tuhuma za kutoa lugha zinazodaiwa kuwa za kichochezi.

Bw. Kigaila anashiikiliwa kwa tuhuma za kutoa lugha za kichochezi Oktoba 12 katika mkutano wake na waandishi wa habari, na amehojiwa na kunyimwa dhamana ambapo itaamuliwa hapo kesho kupewa dhamana ama kufikishwa mahakamani.
Mwanasheria wa Kigaila Frederick Kihwelo akizungumza na waandishi wa habari nje ya kituo hicho leo Jumatatu amesema hatima ya dhamana ya Mkurugenzi huyo itaamuliwa kesho Jumanne.
Wakili Kihwelo amesema, “Kigaila amehojiwa kwa masaa 3 kuanzia saa 7 mchana hadi saa 10 jioni na amehojiwa kwa makosa aliyoyafanya katika mkutano wake Oktoba 12 na wamekataa kutoa dhamana labda hadi kesho” amesema
Mwanasheria huyo amesema katika mkutano huo alizungumza mambo mengi ikiwemo kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na kutekwa kwa Ben Saanane ambaye ni msaidizi wa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad