Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un Ametembelea Kiwanda cha Bidhaa za Urembo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un Ametembelea Kiwanda cha Bidhaa za Urembo
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ametembelea kiwanda ya bidhaa za urembo mjini Pyongyan akiandamana na mke wake Ri Sol-ju na dada yake Kim Yo-jing.

Kuoneka hadharani kwa Kim Yo-jong, kunakuja muda mfupi baada ya kupandishwa cheo ndani serikali ya Korea Kaskazini.
Bidhaa za urembo kutoka nchi za kigeni zimekuwa adimu nchini Korea Kaskani kutokana na vikwazo.

Korea Kaskazini inaonekana kujenga sekta yake ya bidhaa za urembo ambapo bidhaa kama Bomhyanggi na Unhasu vimepata umaarufu.
Licha ya umaarufu wake wa kupigwa picha akiwa katika vituo vya kijeshi na maeneo ya kufanyia majiribio makombora, ziara ya Kim katika kiwanda cha bidhaa za urembo ni moja ya propaganda ya kuhalalisha utawake wake kwa watu wa Korea Kaskazini.

Ziara hiyo "ni ya kuonyesha kuwa Korea Kaskazini inaweza kuwatunza watu wake na kuleta maendeleo kwa kiwango sawa na cha China na Korea Kusini," mdadisi wa masuala ya Korea Kaskazini Ankit Panda aliiambia BBC.
"Licha ya sisi kujua kuwa sio ukweli, ni muhimu kwa utawaka huo kuonyesha watu wake kuwa unaweza kuwapa bidhaa wanazozihitaji,"

Wakati wa ziara hiyo , Kim alikisifu kiwanda hicho kwa kuzalisha bidha za kiwango cha kimataifa, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali la KCNA.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad