AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hiyo ni kutokana na timu hizo kushinda kwa idadi sawa ya mabao kabla ya mchezo huo, Simba iliibuka na ushindi mnono dhidi ya Njombe Mji kwa mabao 4-0,huku Yanga wakishinda ugenini dhidi ya Stand United kwa mabao 4-0.
Sekilojo Chambua ni staa wa zamani wa Yanga, alielezea kuwa ; "Hii kila timu kushinda mabao sawa haina maana inaweza kubadili chochote kwenye matokeo zaidi ya kuleta hamasa na mchezo kuwa na presha kubwa, ila ninaloliona ni huku kwa mashabiki ambao wanatambiana kuona kila mtu anaweza kuibuka mshindi, wajiandae kisaikolojia."
Kwa upande wa Bitta John, nyota wa zamani wa Simba, alisema; "Labda kwa Yanga mchezaji tishio naona atakuwa Chirwa, lakini kikubwa makocha wanatakiwa kufanya kazi kubwa ya kuwajenga wachezaji wao kuwa makini wasije wakaingia kwa kuvimba kiasi kwamba wakasahau kazi yao mwisho wa siku wakavuruga mchezo."
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK