AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mayanga amesema anayafanyia kazi mapungufu na kuahidi kuwa timu itafanya vizuri katika michezo inayokuja. “Naomba mashabiki watusamehe kwa matokeo ya mchezo uliopita, nimeyaona mapungufu ya timu na nitayafanyia kazi ili tuweze kushinda kwenye mechi zijazo”.
Aidha Mayanga ameeleza nia yake ya kupata michezo miwili ya kirafiki ili kujiweka vyema na mchezo wake wa kuwania kufuzu AFCON 2019 dhidi ya Uganda Machi 2018.
Taifa Stars imekuwa haina mwendelezo wa matokeo mazuri ambapo ikumbukwe kuwa iliifunga Malawi kwenye michuano ya COSAFA lakini imeshindwa kufanya hivyo kwenye uwanja wa nyumbani.
Tanzania ipo Kundi L na timu za Uganda, Cape Verde na Lesotho kwenye michuano ya kuwania kufuzu fainali za AFCON 2019 nchini Cameroon.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK