Ndege ya Mizigo Yaanguka Baharini Ivory Coast

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ndege ya Mizigo Yaanguka Baharini Ivory Coast
Ndege moja ya mizigo imeanguka katika bahari ya taifa la Ivory Coast , muda mfupi baada ya kuondoka mji mkuu wa Abidjan huku watu watatu wakidaiwa kufariki na wengine wakijeruhiwa.
Mabaki ya ndege hiyo aina ya Turboprop yalisombwa hadi katika ufukwe ambapo waokoaji walionekana wakiwatibu watu walionusurika.
Ndege hiyo ilikuwa ikibeba mizigo ya jeshi la Ufaransa, kulingana na duru za mtandao wa Koaci.

Shahidi mmoja ameambia chombo cha habari cha Reuters kwamba watu wanne walifariki: miili miwili ikitolewa kutoka kwa ndege hiyo huku mingine miwili ikionekana katika mabaki ya ndege hiyo.
Lakini vyombo vya habari na tovuti ya Ivoire Matin iliripoti vifo vya watu watatu huku watu sita wakijeruhiwa.

Kulingana na mtandao huo , watu 10 walikuwa wameabiri ndege hiyo wakati ilipoanguka.
Ndege hiyo imedaiwakutengezwa nchini Ukrain
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad