Nisha Awachana Wanaomkashifu Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nisha Awachana Wanaomkashifu Lulu
MSANII wa Filamu za Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewaonya watu wanaompiga vijembe msanii mwenzake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa muigizaji, Steven Kanumba.

Nisha aliiambia Full Shangwe kuwa, kwa kipindi kigumu alichonacho Lulu si cha kumnanga bali cha kumpa faraja.

“Tangu kesi ya Lulu ianze upya kusikilizwa, kuna watu wamekuwa wakimkashifu kwa maneno ya ajabu, bila kujua kuwa hakuna ajuaye ya kesho. Ni vyema tukampa faraja rafiki yetu kwa kipindi kigumu alichonacho,”alisema Nisha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad