AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Marekani Donald Trump anaomba ufadhili kwa ujenzi wa ukuta, kufukuzwa haraka watu kutoka Marekani na kuajiriwa maefu ya maafisa wapya wa uhamiaji.
Mwezi ulioita alifuta mpango wa Obama uliofahamika kama "Dreamer" ambao ulikuwa unawalinda wahamiaji 690,000.
Lakini wanademokrat wenye ushawishi katika bunge wamekataa mapendekezo hayo mapya.
Mwezi uliopita Bw. Trump aliliambia bunge la Congress lililo na warepublican wengi kuwa lina miezi sita kukubaliana kuhusu sheria ya kuwasaidia Dreamers.
Hawa ni vijana ambao walipelekwa nchini Marekani kinyume cha sheria kama watoto na hivyo wanakabiliwa na hatua ya kufuzwa kutoka nchini humo.
Chini ya sera za Obama, vijana hao walikuwa na uwezo wa kuomba vibali vya kufanya kazi na kusoma, lakini wakosoaji wanasema kuwa mpango huo ni sawa na kuwapa kinga wahamiaji haramu.
Tangu mpango huo uanze kutekelekwa karibu hali ya wahamiaji 100,000 imebadilika kati ya karibu wahamiaji 690,000.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK