AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika video hii wale washindi wa Mwagika challenge; Iddi Kidungwa, Michael Mwalembe na Nasma Msangi wamekula shavu la kutosha.
Shindano la ‘Mwagika Challenge’ lilikuwa na lengo la kuwapa fursa vijana kuonesha vipaji vyao na liliungwa mkono na mastaa wa Bongo Flava kama Shettah na Shilole waliokuwa mstari wa mbele kuhimiza mashabiki kushiriki shindano hilo, ambao wao pia ni miongoni mwa wasanii wanaonekana kwenye video hiyo.
Tazama video na endelea kuburudika na Kili Lager na usiache kufuatilia kurasa za Kili Lager kuona safari ya washindi hawa kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK